Biblia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
wale jamaa wa Christodelfian wametupa maandiko yao humo ovyo |
kurudisha hali ya tarehe 2 Juni 2008 , kuondoa nyongeza za mtumiaji 193.133.92.228; hii ni ukurasa wa maelezo ya maana |
||
Mstari 1:
'''Biblia''' ni jina la jumla kwa ajili ya vitabu vitakatifu vya dini ya [[Uyahudi]] na hasa ya[[Ukristo]]. Neno limetokana na lugha ya [[Kigiriki]] ambayo ndani yake '''βιβλία''' ''biblia'' ina maana ya "vitabu" ikiwa ni uwingi wa βιβλος ''biblos''. Hii ni kwa sababu Biblia ni mkusanyo wa maandiko mbalimbali yaliyoweza kutungwa kwa muda wa miaka 1000 hivi.
Line 6 ⟶ 4:
*[[Biblia ya Kiebrania]] au [[Tanakh]] inavyotumiwa na Wayahudi. Vitabu hivyo ni sehemu kuu ya vile vinavyoitwa na Wakristo [[Agano la Kale]]) na kuunda sehemu ya kwanza ya
*[[Biblia ya Kikristo]] inavyotumiwa na Wakristo yenye vitabu vya [[Agano la Kale]] pamoja na [[Agano Jipya]].
{{maana}}
|