Gerhard Schröder : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
New page: thumb|right|350px|Gerhard Schröder akiwa na Rais wa [[Marekani Bw. George W. Bush.]] '''Gerhard Schröder''' (amezaliwa tar. 7 Aprili, 1944 mj... |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 06:38, 23 Agosti 2008
Gerhard Schröder (amezaliwa tar. 7 Aprili, 1944 mjini Mossenberg) alikuwa chansela wa Ujerumani kuanzi 1998 hadi 2005. Baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2005, akapokelewa na Angela Merkel. Huyu ni mwanachama wa chama cha kisiasa cha Kijerumani cha SPD (Social Democratic Party of Germany).
Viungo vya nje
- Pictures "Spuren der Macht"
- From Ironmonger's Apprentice to Chancellor, Deutsche Welle, July 2005
- Profile: Gerhard Schroeder, BBC News, July 2005
- The Modern Chancellor: Taking Stock of Gerhard Schröder, Der Spiegel Online, October 2005
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |