Sakuramachi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 15:30, 8 Septemba 2006
Sakuramachi (1720 – 1750) alikuwa mfalme mkuu wa 115 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Teruhito. Mwaka wa 1735 alimfuata baba yake, Nakamikado, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 1747. Aliyemfuata ni mwana wake, Momozono.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |