Tenochtitlan : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: simple:Tenochtitlan |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Tenochtitlan ramani.jpg|thumb||Ramani ya Tenochtitlan ndani ya ziwa la Texcoco]]
[[Image:Tenoch2A.jpg|thumb||Uchoraji wa Tenochtitlan mnamo mwaka 1521]]
[[Image:Mexico
'''Tenochtitlan''' ilikuwa mji mkuu wa milki ya [[Azteki]] na mji mtangulizi wa [[Jiji la Mexiko]]. Ilianzishwa kwenye kisiwa ndani ya ziwa la Texcoco mnamo mwaka 1325 na Waazteki wahamiaji walipofika kwenye bonde la Mexiko kutoka kaskazini. Mji uliharibiwa na Wahispania mwaka [[1321]] na mji mpya ukajengwa juu ya maghofu yake.
|