Jean Dausset : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 14:07, 28 Septemba 2008
Jean Dausset (amezaliwa 19 Oktoba, 1916) alikuwa daktari kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza mfumo wa jeni. Mwaka wa 1980, pamoja na Baruj Benacerraf na George Snell alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |