Moshi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 9:
'''KCMC Medical School''' chini ya chuo kikuu cha Tumaini-Iringa
 
Kwa mujibu wa [[sensa]] ya mwaka 2002, mji huu una wakazi wapatao 144,739. Kabila linaloongoza kwa idadi ya wakazi wa mji wa Moshi ni Wachagga. Kuna makabila mengi kama Wapare, Wanyakyusa,Wasukuma, Warangi,Wasambaa n.k.
 
Moshi ni mji wenye baridi katika miezi ya [[Juni]] mpaka [[Agosti]] na kipindi cha joto katika miezi ya [[Oktoba]] hadi katikati ya [[Januari]].