Mwanzo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 27:
|-
|style="font-size: 1.0em;" bgcolor="#F7F5D3" |
<h3 style="font-size:150%"><em style="color:orange;font-style:normal">&#8226;</em>'''Makala maalum:''' <br><center>'''[[AgostinoVita wa HippoBaridi]]'''</center></h3>
[[Image:AugustineLateranCold_war_europe_military_alliances_map_en.jpgpng|thumb|160px|PichaPande yambili kaleza zaidivita ya Agostinobaridi katika kanisaUlaya: lawashiriki [[Laterani]],wa [[Roma]]Marekani (karnebuluu) yana 6wa BKUmoja wa Kisovyeti (nyekundu).]]
'''Vita Baridi''' ilikuwa kipindi cha ugomvi kati ya vikundi viwili vya nchi duniani kati ya 1945 na 1989. Upande moja zilikuwa nchi zilizoshikama na [[Marekani]] ya Ulaya ya Magharibi na upande mwingine nchi zilizoshikamana na [[Umoja wa Kisovyeti]] na madola ya Ulaya ya Mashariki.
'''Agostino wa Hippo''' ([[13 Novemba]], [[354]] &ndash; [[28 Agosti]], [[430]]) alikuwa [[mwanatheolojia]] na kiongozi wa kanisa katika [[Afrika ya Kaskazini]] wakati wa karne ya 5 BK. Kutokana na maisha, mafundisho na maandiko yake amepewa cheo cha mtakatifu pia cha mwalimu wa kanisa. [[Hippo]] ni jina la kale la mji Annaba katika [[Algeria]] ya leo alipokuwa askofu.
 
==Maisha yake==
==Vita baridi badala ya vita moto==
Agostino alizaliwa mw. [[354]] [[BK]] mjini [[Thagaste]] pale [[Numidia]] (leo: [[Algeria]]) yaani karne mbili baada ya [[Origine]]. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa ''Aurelius Augustinus''. Wakati ule Ukristo ulikuwa tayari dini iliyokubaliwa katika [[Dola la Roma]]. Mateso ya Wakristo yalikwisha. Mama yake Agostino alikuwa Mkristo, Baba mpagani aliyefuata dini ya zamani ya kuabudu miungu mingi. Alipata elimu yake katika Chuo Kikuu cha [[Karthago]] (leo: [[Tunis]]). Katika sehemu za magharibi za [[Afrika ya Kaskazini]] wenyeji wa kiasili walikuwa [[Waberberi]], lakini watu wa mjini na wenye mashamba makubwa walikuwa wa asili ya Ki[[ulaya]] wakatumia hasa lugha ya [[Kilatini]]. Kwa jumla sehemu hii ya [[Afrika]] ilikuwa karibu na utamaduni wa Ulaya ya Magharibi.
Pande zote mbili zilijenga jeshi kubwa na kuwa na silaha nyingi lakini hazikuanzisha vita moja kwa moja ingawa zilijaribu kutishana na kupeana matatizo kwa njia nyingi. Kipindi hiki kilikuwa na maandilizi ya vita lakini vita ya kijeshi haikuanza. Sababu muhimu ya kutoingia katika mapigano ya wazi ilikuwa akiba kubwa ya silaha za nyuklia kila upande na wote walijua ya kwamba vita ingeleta uharibifu kabisa kwa nchi zote zilizoshiriki hata kwa dunia yote.
*[[Agostino wa Hippo|Soma zaidi kuhusu Agostino wa Hippo]].
 
==Chanzo kilikuwa farakano kati ya washindi wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia==
Vita baridi ilianza baada ya [[vita kuu ya pili ya dunia]]. Marekani, Umoja wa Kisovyeti, [[Uingereza]] na [[Ufaransa]] zilikuwa nchi washindi wa vita hii dhidi ya Ujerumani. Urusi ulikuwa na siasa ya kikomunisti lakini washindi wengine walifuata siasa ya kidemokrasia pamoja na uchumi wa kibepari.
 
Nchi za Ulaya ya Mashariki pamoja na sehemu za Ulaya ya Kati zilikaliwa na jeshi la kisovyeti lililowahi kuwafukuza Wajerumani katika maeneno haya. Wasovyeti walianza kuunda serikali zilizoshikamana nao mara nyingi kwa njia ya uchaguzi bandia na kwa kuwalazimisha wanasiasa wa nchi kama [[Poland]], [[Chekoslovakia]] au [[Hungaria]] kutii madai yao. Wapinzani walikamatwa na kufungwa ndani. Katika kila nchi chama cha kikomunisti kiliingizwa katika serikali na vyama vingine vya kisiasa kuwekwa chini ya usimamizi wa wakomunisti au washauri wasovyeti. Mwaka 1946 kiongozi Mwingereza [[Winston Churchill]] alilalamika ya kwamba "pazia ya chuma" ilitandikwa katika Ulaya kuanzia [[Stettin]] upande wa kaskazini hadi [[Trieste]] upande wa kusini na nyuma yake uhuru ulikandamizwa.
*[[AgostinoVita wa HippoBaridi|Soma zaidi kuhusu Agostino'''Vita wa HippoBaridi'''...]].
<h3 style="font-size:100%"><em style="color:orange;font-style:normal">&#8226;</em>'''Ujenzi'''</h3>
[[Ujenzi]] -