Adalbert wa Magdeburg : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: en:Adalbert (Archbishop of Magdeburg) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Adalbert of Magdeburg.jpg|200px|thumb|Mtakatifu Adalbert wa Magdeburg]]
'''Mtakatifu Adalbert wa Magdeburg''' (alifariki tarehe [[20 Juni]], [[981]]) alikuwa [[askofu mkuu]] wa kwanza wa mji wa [[Magdeburg]], [[Ujerumani]].
Ametambuliwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni [[20 Juni]]. ==Maisha==
Adalbert alizaliwa Ujerumani na kuwa [[mtawa]] katika mji wa [[Trier]].
Baada ya kuwekwa wakfu kama [[askofu]], mwaka Kundi lake lote liliuawa, naye Baadaye aliteuliwa kuwa askofu mkuu wa [[dayosisi]] ya Magdeburg. Alianzisha madayosisi mapya pengi upande wa Mashariki wa Ujerumani, kama katika miji ya [[Naumburg]], [[Meißen]], [[Merseburg]], [[Brandenburg]], [[Havelberg]], na [[Poznan Mwanafunzi wake mmoja aliyetangazwa kuwa mtakatifu kama yeye ni [[Adalbert wa Praha]].
==Tazama pia==
|