Mapigano ya Adowa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
viungo |
||
Mstari 1:
[[Image:Adua Menelik.jpg|thumb|right|300px|Negus Menelik II kwenye mapigano ya Adowa - uchoraji katika gazeti la kifaransa ''Le Petit Journal'']]
Mapigano ya Adowa yalitokea [[1 Machi]] [[1896]] katiika nyanda za juu za Tigray kati ya jeshi ya Italia upande mmoja na ya Ethiopia kwa upande mwingine.▼
[[Image:1896.jpg|thumb|right|250px|Gazeti la Kifaransa "La Vie Illustree" inaonyesha sherehe ya kukumbuka ushindi wa Adowa ya [[1904]] na wanajeshi Waethiopia kwenye maandamano ]]
▲'''Mapigano ya Adowa''' yalitokea [[1 Machi]] [[1896]]
==Utangulizi==
Mwaka [[1889]] mtemi wa [[Shewa]] [[Menelik II]] alijitangaza [[Negus]] wa Ethiopia baada ya kushinda mapigano kazi ya watemi wa Ethiopia
Italia ilidai kutokana na nakala ya Kiitalia ya mkataba huo haki ya ulinzi juu ya Ethiopia. Menelik aliiimarisha utawala wake na mwaka [[1893]] alikana mkataba.
==Italia inavamia Ethiopia==
Italia ilijibu kwa kuvamia Ethiopia kwa jeshi kubwa katika Oktoba [[1895]]. Menelik aliweza kukusanya takriban wanajeshi 100,000 na kuwaongoza Tigray (jimbo jirani ya Eritrea).
Mapigano ya kwanza ndani ya Tigray ya [[Amba Alagi]] (7 Desemba) na ya [[Mekelle]] hayakuenda vizuri kwa Waitalia. Waethiopia walishindwa kuteka boma la Mekelle lakini Waitalia walifungwa ndani kwa wiki tatu. Mwishowe waliondoka baada ya mapatano na Negus Menelik II na kurudi Eritrea.
Sehemu kubwa ya jeshi la Italia haikuingia bado katika mapigano.
Lakini serikali ya [[Roma]] ya waziri mkuu [[Francesco Crispi]] baada ya kupokea habari za mapigano ya kwanza iliona aibu ya kushindwa na Waafrika ikamwamuru
==Adowa==
Line 20 ⟶ 24:
Jeshi lake lilikuwa na vikosi vitatu vya Waitalia na kikosi kimoja cha askari kutoka [[Eritrea]]. Jumla ya wanajeshi ilikuwa 17,700 na mizinga 65. Hii ilikuwa nusu ya Waitalia wote waliopatikana katika Eritrea.
Baratieri alijua ya kwamba kulikuwako kambi kubwa ya Waethiopia karibu na mji wa Adowa alitaka kuwashambulia asubuhi wakati wa kucha kabla hawakuamka. Lakini
Jeshi la Menelik
Wakati wa asubuhi wa 1 Machi 1886 kikosi cha kwanza cha askari Waeritrea chini ya maafisa Waitalia kiligonga moja kwa moja kambi la [[Ras Alula]] aliyekuwa tayari.
Baada ya masaa sita mapigano yalikwisha. Waitalia walishindwa, wengi kuuawa na wengine walikimbia wakirudi Eritrea. Wanajeshi wao 7,000 waliuawa na 1,500 kujeruhiwa, 3,000 wakawa wafungwa kati yao jenerali mmoja. Waethiopa walipoteza 4,000 - 5,000 na 8,000 kujeruhiwa. Waitalia walipaswa kuacha nyuma mizinga yote na bunduki 11,000 na vifaa vingi.
Line 34 ⟶ 38:
==Baada ya mapigano==
Waethiopia waliwatendea wafungwa Wazungu vizuri
Baada ya habari hizi kufika Italia serikali ya Crispi ilipinduliwa. Serikali mpya ilipaswa kukubali uhuru wa Ethiopia katika mkataba wa amani [[26 Oktoba]] [[1896]]. Ethiopia ilikubali mamlaka ya Italia juu ya koloni yake katika kaskazini. Wafungwa walirudishwa.
|