Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 32:
 
Wataalamu wa UM walikuwa wametambua maabara ya kinyuklia nchini Irak yaliyofichwa kinyume na masharti ya mkataba wa kuzuia usambazaji wa silaha za nyuklia. Katika miaka kabla ya uvamizi wa Irak na Marekani IAEA ilifaulu kuchunguza maabara na ofisi nyingi hadi Irak haikuwa tena na utafiti wa kuunda silaha za nyuklia isipokuwa serikali ya Marekani haikuamini taarifa za IAEA na kushambulia Irak hata hivyo. Kamati ya Nobel iliamua ya kwamba IAEA ilijitahidi kuzuia matumizi ya kijeshi ya nishati ya nyuklia na kujenga matumizi salama ya nishati hii.
 
==Viungo vya Nje==
[http://www.iaea.org/index.html Tovuti rasmi ya IAEA]
 
[[Category:Nishati]]