Waraka kwa Waefeso : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: bg:Послание към ефесяните |
No edit summary |
||
Mstari 1:
{{Agano Jipya}}
Barua kwa [[Waefeso]] ni kati ya vitabu 27 vya [[Agano Jipya]] ambalo pamoja na [[Agano la Kale]] linaunda [[Biblia
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[Historia ya Wokovu|historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[Ufunuo|ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
==Mazingira==
[[Mtume Paulo]] aliweza kuandika barua hii akiwa kifungoni [[Roma]] kati ya miaka 61 na 63 ili isomwe katika makanisa yote ya mkoa wa [[Asia Ndogo]], wenye makao makuu [[Efeso]].
==Mada==
Mafundisho yake yanalingana na yale ya [[barua kwa Wakolosai]] ila yamechimbwa zaidi, kiasi kwamba barua hii inaonekana kuwa kilele cha [[teolojia]] ya Paulo.
|