Ueleaji : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
New page: thumb|200px|Nguvu ya ueleaji ndani ya kiowevu '''Ueleaji''' ni nguvu ya usukumaji juu wa giligili (yaani kiowevu au gesi) kwa gimba ndani yake. Hutokan... |
No edit summary |
||
Mstari 10:
Kama gimba ndani ya giligili huwa na densiti sawa nayo linaelea tu; kama densiti yake ni kubwa linazama chini; kama densiti yake ni ndogo kushinda giligili litapanda juu kwa uso wa giligili.
Meli au boti inaelea kwa sababu jumla ya mjao wake ni nyepesi yaani densitiy a wastani ni ndogo kuliko maji. Hii ni kweli hata kama ni meli ya [[feleji]] na feleji ina densiti kubwa na kuwa nzito kushinda maji. Lakini ndani ya felejikuna nafasi kubwa ya hewa na ni wastani ya nafasi hii yote inayofanya meli kwa jumla kuwa na
: <math>F = \rho \cdot V \cdot g</math>
: F ni alama ya kani ya ueleaji; <math>V</math> ni mjao (=''volume'') ya giligili iliyosukumwa kando na gimba; <math>\rho</math> ni densiti yake.
Hali hii ilitambuliwa na mtaalamu [[Archimedes]] wa [[Ugiriki ya Kale]] na kuelezwa naye katika [[Kanuni ya Archimedes|kanuni yake]].
== Viungo vya Nje ==
|