Basilika : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
New page: '''Basilika''' kwa asili lilikuwa jengo rasmi lililotumika Roma kama mahali pa mikutano ya hadhara na maamuzi ya kimahakama. Jina ni la Kigiriki (''aulè basilikè'', yaani ukumbi...
 
No edit summary
Mstari 5:
Kuanzia mwaka [[313]], [[Dola la Kirumi]] liliporuhusu raia kufuata [[Ukristo]], basilika ziligeuzwa kuwa mahali pa ibada ya [[dini]] hiyo, kuanzia [[Kanisa Kuu la Roma]], maarufu kwa jina la Mt. Yohane huko [[Laterani]].
 
Baadaye zikajengwa [[Basilika yala Mt. Petro]] huko [[Vatikani]], [[Basilika yala Bikira Maria Mkuu]] na [[Basilika yala Mt. Paulo]] nje ya kuta za jiji.
 
Baadaye, cheo cha Basilika kilipewakilitolewa kwa makanisa mengi mengi kutokana na umuhimu wake upande wa historia, dini na sanaa.

Hata hivyo, kuna basilika kuu na basilika ndogo.
 
[[Category:Ukristo]]