Mtaguso Mkuu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: nl:Oecumenische concilies |
No edit summary |
||
Mstari 1:
Kadiri ya imani ya [[Kanisa Katoliki]], [[Yesu]] aliwakabidhi [[
Vilevile waandamizi wao, yaani maaskofu wote, ni kundi moja na [[
Mamlaka hiyo inatumika kwa namna ya pekee unapofanyika mtaguso mkuu, yaani mkutano maalumu wa maaskofu uliokubaliwa na
Kwa kiasi fulani ndiyo imani ya [[
Katika [[milenia]] ya kwanza ilifanyika mashariki ([[Uturuki]] wa leo):
3. Efeso (431)▼
4. Kalsedonia (451)▼
1. [[Mtaguso wa kwanza wa Nisea]] (mwaka 325)
15. Vienne (1311-1312)▼
16. Kostansa (1414-1418)▼
17. Firenze (1439-1445)▼
19. Trento (1545-1563)▼
2. [[Mtaguso wa kwanza wa Konstantinopoli]] (381)
Msimamo wa [[Waprotestanti]] ni tofauti sana, kwa kuwa hao hawatii maanani mapokeo ili wasisitize umuhimu wa [[Biblia]]. Hata hivyo wengi wao wanashikilia imani juu ya [[Yesu Kristo]], juu ya [[Roho Mtakatifu]] na juu ya [[Utatu mtakatifu]] kama ilivyofundishwa rasmi katika mitaguso ya kwanza.▼
▲3. [[Mtaguso wa Efeso]] (431)
Mitaguso mikuu ya kwanza ilifanyika hasa ili kubainisha katika mafundisho yaliyogongana yapi yanalingana na imani sahihi. Mwisho wake ulikuwa kutangaza dogma fulani na kutenga na Kanisa watakaokataa kuiamini na watakaofundisha tofauti.▼
▲4. [[Mtaguso wa Kalsedonia]] (451)
Kumbe mitaguso iliyofanyika baada ya farakano la mwaka 1054 kati ya Kanisa la Mashariki na la Magharibi, pamoja na kulenga umoja uliovunjika na kufundisha dogma mpya, ilishughulikia zaidi urekebisho wa Kanisa katika ngazi na nyanja zote. Kwa namna ya pekee mtaguso wa pili wa Vatikano tangu uitishwe ulijulikana kuwa wa kichungaji, yaani usio na lengo la kufundisha dogma mpya wala kulaani mafundisho mengine.▼
5. [[Mtaguso wa pili wa Konstantinopoli]] (553)
6. [[Mtaguso wa tatu wa Konstantinopoli]] (680-681)
7. [[Mtaguso wa pili wa Nisea]] (787)
8. [[Mtaguso wa nne wa Konstantinopoli]] (869-870)
Katika milenia ya pili ilifanyika magharibi ([[Italia]], [[Ufaransa]] na [[Ujerumani]] wa leo):
9. [[Mtaguso wa kwanza wa Laterano]] (1123)
10. [[Mtaguso wa pili wa Laterano]] (1139)
11. [[Mtaguso wa tatu wa Laterano]] (1179)
12. [[Mtaguso wa nne wa Laterano]] (1215)
13. [[Mtaguso wa kwanza wa Lyon]] (1245)
14. [[Mtaguso wa pili wa Lyon]] (1274)
▲15. [[Mtaguso wa Vienne]] (1311-1312)
▲16. [[Mtaguso wa Kostansa]] (1414-1418)
▲17. [[Mtaguso wa Firenze]] (1439-1445)
18. [[Mtaguso wa tano wa Laterano]] (1512-1517)
▲19. [[Mtaguso wa Trento]] (1545-1563)
20. [[Mtaguso wa kwanza wa Vatikano]] (1869-1870)
21. [[Mtaguso wa pili wa Vatikano]] (1962-1965)
▲Msimamo wa [[Waprotestanti]] ni tofauti sana, kwa kuwa hao hawatii maanani [[mapokeo]] ili wasisitize umuhimu wa [[Biblia]]. Hata hivyo wengi wao wanashikilia imani juu ya [[Yesu Kristo]], juu ya [[Roho Mtakatifu]] na juu ya [[Utatu
▲Mitaguso mikuu ya kwanza ilifanyika hasa ili kubainisha katika mafundisho yaliyogongana yapi yanalingana na imani sahihi. Mwisho wake ulikuwa kutangaza dogma fulani na kutenga na Kanisa watakaokataa kuiamini na watakaofundisha tofauti.
▲Kumbe mitaguso iliyofanyika baada ya farakano la mwaka 1054 kati ya [[Kanisa la Mashariki]] na [[Kanisa la Magharibi]], pamoja na kulenga umoja uliovunjika na kufundisha dogma mpya, ilishughulikia zaidi urekebisho wa Kanisa katika ngazi na nyanja zote. Kwa namna ya pekee mtaguso wa pili wa Vatikano tangu uitishwe ulijulikana kuwa wa kichungaji, yaani usio na lengo la kufundisha dogma mpya wala kulaani mafundisho mengine.
|