Kitabu cha Yeremia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 33:
Baada ya Yerusalemu kuteketezwa (587 K.K.) Yeremia alichagua kubaki nchini pamoja na mafukara badala ya kuhamia Babeli (39:8-40:6), ila ukatokea uasi akalazimishwa na Waisraeli wenzake kuwafuata [[Misri]]: huko akawaonya wasifuate Upagani lakini wakakataa tena kumsikiliza (42-44).
 
Kama nyongeza ya kitabu cha Yeremia tuna [[Maombolezo (Biblia)|Maombolezo]] matano juu ya Yerusalemu ulioteketezwa, ambamo inaonekana toba halisi baada ya tukio hilo. Hatujui yametungwa na nani.
 
{{Biblia AK}}