Mwamba (jiolojia) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 6:
==Aina ya miamba==
Mwamba hutokea kwa namna tatu:
*mwamba wa mgando au mwamba wa kivolkeno unajitokeza pala ambako [[magma]] au [[lava]] inaganda, kwa mfano [[itale]].
*mwamba mashapo hutokea pale ambako miamba inavunjika na kusagwa katika [[mmomonyoko]] na mashapo yanakandamizwa kwa njia ya kanieneo ya mashapo ya juu hadi mashapo kuwa mwamba mapya.
**aina ya pekee ni [[visukuku]] ambayvo ni mashapo yaliyosababishwa na wanyama au mimea itakayokuwa mwamba mashapo baadaye. Mfano: [[makaa mawe]].