Artturi Ilmari Virtanen : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d kuongeza alama ya Nobel na 'Category' |
dNo edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
'''Artturi Ilmari Virtanen''' ([[15 Januari]], [[1895]] – [[11 Novemba]], [[1973]]) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya [[Finland]]. Baadhi ya utafiti mwingi alichunguza [[virusi]] vikaavyo kwenye udongo. Mwaka wa [[1945]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] ya Kemia'''.
[[Category:Wanasayansi]]
|