Melvin Schwartz : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d viungo vya tarehe
d kuongeza ishara ya Nobel
Mstari 1:
[[Image:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
'''Melvin Schwartz''' ([[2 Novemba]], [[1932]] - [[28 Agosti]], [[2006]]) alikuwa mwanafizikia Mwamerika. Mwaka [[1988]] alipokea '''[[Tuzo ya Nobel]] ya Fizikia''' pamoja na [[Leon Max Lederman]] na [[Jack Steinberger]] kwa mafanikio yao ya kugundua mbinu za kushughulika ma[[neutrino]] ambazo ni chembe ndogo sana ya kinyuklia isiyo na chaji na haipasuliki.