Planktoni : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 9:
Wadogo jinsi walivyo hawana nguvu kuogelea dhidi ya mikondo ya bahari kwa hiyo wanaelea tu baharini wakisukumwa na mwendo wa maji.
 
==Aina za planktoni==
Wataalamu wanatofautiisha aina tatu:
* Phytoplanktoni au '''planktoni mimea''' ni hasa aina za mwani ndogondogo inayoelea karibu na uso wa maji. Inatumia nuru ya jua kwa njia ya [[usanisinuru]] pamoja na [[madini]] ndani ya maji.
Line 14 ⟶ 15:
* Bakterioplanktoni au '''planktoni bakteria''' ambayo ni [[bakteria]] na [[archaea]] zinazooishi pamoja na planktoni nyingine
 
==Chanzo cha mtando chakula==
Planktoni ni chanzo cha [[mitandomtando chakula]] majini; planktoni mimea ni chanzo chake kabisa na aina nyingine za planktoni wanatumia mimea hii kama chakula chao.
 
Planktoni kwa ujumla ni lishe kwa viumbe vikubwa zaidi baharini kama [[samaki]] ambao wenyewe wanaliwa na viumbe vikubwa tena.
 
Kuna pia [[nyangumi]] na [[papa (samaki)|papa]] wanaokula planktoni moja kwa moja kwa kuichotea katikakwa midomo yao mikubwa pamoja na maji mengi na kusukuma yotemaji nje kupitia meno yao ambayo ni mengi tena madogo kama chanuo au chujio na planktoni yenyewe inabaki ndani kama chakula.
 
[[Category:Biolojia]]