Kiwolofu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Kiwolofu''' ni lugha iongewayo nchini [[Senegal]], [[Gambia]], na [[Mauritania]]. Ni lugha rasmi kwa [[Wawolofu]]. Lugha hii ipo kama lugha jirani ya [[Kifula|Fula]] inayohesabiwa kati ya lugha za Kiatlantiki cha familia ya lugha za Niger-Kongo.
Kiwolofu ni lugha inayoongelewa sana nchini Senegal, haizungumzwi na
Idadi ya wasemaji kama lugha ya mama ni takriban milioni 3.2 na karibu idadi ileile hutumia Kiwolofu kama lugha ya pili.
|