Kiunzi cha mifupa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: fiu-vro:Luuvärk
No edit summary
Mstari 1:
[[Image:Kiunzi cha binadamu.jpg|thumb|300px|Kiunzi cha binadamu]]
 
'''Kiunzi cha mifupa ya binadamu''' ni jumla ya [[mfupa|mifupa]] kwenye mwili wa mtu na wanyama. Mwanadamu ana kiunzi cha ndani na mifupa ni sehemu imara chini ya ngozi na nyama ya mtu na kusudi lake ni mwili ushikamane na kuwa thabiti.
 
Kiunzi cha binadamu huwa na mifupa 206. Mifupa inaunganishwa kwenye viungo kwa [[nyugwe]] inayowezesha mwili kuwa nyumbufu. [[Ukano]] huunganisha mfupa na [[misuli]] ikipeleka nguvu ya misuli kwa mfupa.
 
Kati ya wanyama kuna pia aina zenye [[kiunzi cha nje]] au zisizo na kiunzi. [[Arithropodi]] kama [[wadudu]] huwa na kiunzi cha nje.