Laterani : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
viungo, jamii
No edit summary
Mstari 4:
Baada ya yeye kuruhusu [[Ukristo]] katika [[Dola la Roma]] (Hati ya [[Milano]], 313) ikulu liligeuzwa kuwa [[kanisa]] ambalo liliwekwa wakfu na [[Papa Melkiades]] (314), na mpaka leo linaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]] kama [[kanisa kuu]] la [[jimbo]] la Roma na la ulimwengu mzima.
 
Tofauti na wanavyodhani wengi, ikulu[[Ukulu mtakatifu|ukulu]] wa [[Papa]] ni katika kanisa hilo, si katika lile[[Basilika la mtakatifuMt. Petro]] huko [[Vatikano]].
 
Jina rasmi ni kanisa la Kristo Mkombozi, lakini watu wanaliita kwa kawaida kanisa la Mt. Yohane (Mbatizaji) kwa kuwa nyuma yake ipo [[batizio]] kuu, tena juu ya ukuta wake wa mbele kandokando ya [[sanamu]] ya marumaru ya [[Yesu]], zipo zile za [[Yohane Mbatizaji]] na [[Mtume Yohane]].
Mstari 10:
Ndani, juu ya [[altare]] kuu yanatunzwa mafuvu ya vichwa vya [[Mtume Petro]] na [[Mtume Paulo]].
 
Ndani ya kanisa hilo mara tano ulifanyika [[mtaguso]] mkuuambao kila mmoja unahesabiwa na Kanisa Katoliki kuwa [[Mtaguso Mkuu]].
 
Mpaka uhamisho wa [[Avignon]] ([[karne ya 14]]) mapapa waliishi karibu na kanisa hilo, na mpaka leo seminari kuu ya jimbo (pamoja na [[chuo kikuu]] cha Kipapa cha Laterano) iko nyuma yake.