Mkoa wa Singida : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
dNo edit summary |
||
Mstari 4:
Singida ni kati ya maeneo maskini zaidi ya Tanzania. Uchumi wake ni hasa ufugaji, idadi ya ng´ombe hukadiriwa kuwa mnamo milioni 1.4. Masoko hayako karibu barabara si nzuri. Kilimo si nzuri kwa sababu ya hali ya mvua. Ukame huleta njaa. Singida ni kati ya mikoa inayotegemea misaada ya chakula.
Wakazi wa wilaya za Singida mjini na kijijini ni hasa
{{Mikoa ya Tanzania}}
|