Jinsia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Sperm-egg.jpg|thumb|right|Uzazi wa kijinsia wa binadamu na wanyama wengi unafanyika kwa mbegu mojawapo kati ya nyingi zinazobebwa na [[manii]] ya mzazi wa kiume kuungana na [[kijiyai]] cha
'''Jinsia''' ni hali ya viumbe hai vingi kuwa vya kiume au vya kike, jambo muhimu katika mpango wa kuendeleza uhai kupitia uzazi.
==Binadamu==▼
Si viumbe vyote vinavyoendeleza uhai kwa njia ya uzaliano kijinsia; ▼
*viumbehai vya mfuto kama [[bakteria]] vyenye mwili wa seli moja tu vinatumia uzaliano peke ambako seli hujigawa.▼
*mimea kadhaa huzaa kwa kutenga tu sehemu ya mizizi inayoanzisha mmea mpya; mbinu huo huo hufuatwa kwa kutumia [[kipandikizi]] cha kupanda katika [[kilimo]].▼
Kati ya wanadamu hali ya kuwa mwanamume au mwanamke inategemea nukta ya utungaji mimba na kudumu moja kwa moja.
Kuna pia njia ya kujizalisha ambayo ni namna ya pekee ya uzalioni kijinsia. Mimea kama karanga na pia wanyama kadhaa mfano vyawa na samaki kadhaa wanaweza kuanzisha wadogo bila manii ya kiume. Wanyama kama [[mategu]] ni [[huntha]] wanaobeba manii pamoja na vijiyai mwilini na wanzaa ndani yao.▼
Inatokana na milioni za mbegu zilizomo kwa kawaida katika [[shahawa]] ya mwanamume, ambazo baadhi yake ni za kiume (zenye [[chembeuzi Y]]) na baadhi za kike [[chembeuzi X]].
▲==Binadamu==
Kijiyai cha mwanamke hakichangii uainishaji wa jinsia, kwa kuwa kina [[chembeuzi X]] tu.
Ikiwa mbegu inayowahi kujipenyeza katika kijiyai cha mwanamke ni ya kiume, [[mimba]] itakuwa ya kiume (XY), kumbe ikiwahi moja ya kike, mimba itakuwa ya kike (XX).
Kulingana na tofauti hiyo, binadamu huyo mpya atazidi kukua na kutokeza viungo maalumu vya uzazi kama
**[[uterasi]] (mji wa mimba), [[ovari]] na [[kuma]] upande wa mwanamke au
**[[mboo]] na [[korodani]] upande wa mwanaume.
Viungo hivyo vitakomaa wakati wa [[ubalehe]].
Ni pia muhimu kazi ya [[chachu za jinsia]] (homoni za jinsia) zilizo tofauti kwa mwanamume na mwanamke.
Sehemu
==Hali za watu zisizo za kawaida==
Katika kila jamii, hasa zilizoendelea, kuna idadi fulani ya watu ambao hali ya jinsia si ya kawaida kutokana na hali ya pekee ya vyembeuzi (hasa XYY na XXY) au uwepo wa homoni za jinsia nyingine ndani yao au uwepo wa viungo vya uzazi mchanganyiko au visivyo kamili au visivyoeleweka. Hata hivyo chembeuzi Y inathibitisha kuwa mhusika ni wa kiume.
Watu wengine wana tatizo la [[utasa]], ambalo linazidi kuongezeka hasa katika nchi zilizoendelea hata kuvuka asilimia 10% ya binadamu.
Wengine, kwa sababu zisizoelezeka vya kutosha na [[biolojia]] wala [[saikolojia]] hawajisikii ipasavyo na jinsia yao (hasa [[ubaridi wa kijinsia]] na elekeo la [[ushoga]] na [[usagaji]]).
==Viumbe hai visivyozaliana kijinsia==
▲Si viumbe vyote vinavyoendeleza uhai kwa njia ya uzaliano kijinsia;
▲*viumbehai vya mfuto kama [[bakteria]] vyenye mwili wa seli moja tu vinatumia uzaliano peke ambako seli hujigawa.
▲*mimea kadhaa huzaa kwa kutenga tu sehemu ya mizizi inayoanzisha mmea mpya; mbinu
▲Kuna pia njia ya kujizalisha ambayo ni namna ya pekee ya uzalioni kijinsia. Mimea kama karanga na pia wanyama kadhaa mfano vyawa na samaki kadhaa wanaweza kuanzisha wadogo bila manii ya kiume. Wanyama kama [[mategu]] ni [[huntha]] wanaobeba manii pamoja na vijiyai mwilini na wanzaa ndani yao.
[[Category:Biolojia]]
[[Category:Jinsia]]
[[Category:Saikolojia]]
|