Umma wa Wapanda Baiskeli Dar es Salaam : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Marejeo |
Logo |
||
Mstari 1:
[[Picha:
'''Umma wa Wapanda Baiskeli Dar es Salaam''' (kifupi: '''UWABA''' au '''UWABADAR''') ni jina la [[Shirika Lisilo la Kiserikali]] la umoja wa Wanabaiskeli kutoka [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. Umma huu unaruhusu mtu yeyote mwenye baiskeli kujiunga nao bila ada yeyote ile.
==Dhamira ya Umma==
[[Picha:Picha ya Wapanda Baiskeli Dar.jpg|thumb|right|270px|Picha ya Msafara wa Wapanda Baiskeli Dar.]]
Malengo ya Umma ni kama yafuatavyo:
|