Elihu Root : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d kuongeza alama ya Nobel na 'Category' |
dNo edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
'''Elihu Root''' ([[15 Februari]], [[1845]] – [[7 Februari]], [[1937]]) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya [[Marekani]]. Alikuwa mwanachama wa Chama cha Jamhuri cha Marekani. Kutoka 1905 hadi 1909 alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani. Mwaka wa [[1912]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] ya Amani'''.
[[Category:Wanasiasa]]
|