Louis Renault : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d kuongeza viungo vya lugha nyingine
dNo edit summary
Mstari 1:
[[Image:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
 
'''Louis Renault''' ([[21 Mei]], [[1843]] – [[8 Februari]], [[1918]]) alikuwa mwanasheria na mwelimishaji kutoka nchi ya [[Ufaransa]]. Alikuwa profesa wa [[sheria ya kimataifa]] na alijitahidi kama mpatanishi kati ya nchi mbalimbali. Mwaka wa [[1907]], pamoja na [[Ernesto Teodoro Moneta]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] kwa Amani'''.
 
[[Category:Wanasheria]]