Ludwig Quidde : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d kuongeza viungo vya lugha nyingine |
dNo edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
'''Ludwig Quidde''' ([[23 Machi]], [[1858]] – [[5 Machi]], [[1941]]) alikuwa mwanahistoria na mwanasiasa kutoka nchi ya [[Ujerumani]]. Alijitahidi kutekeleza amani ya kimataifa, hasa wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]]. Mwaka wa [[1927]], pamoja na [[Ferdinand-Edouard Buisson]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] kwa Amani'''.
[[Category:Wanasiasa]]
|