Kipaimara : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
{{Sakramenti}}
'''Kipaimara''' ni ibada ya [[madhehebu]] mbalimbali ya Kikristo inayolenga kumthibitisha mwamini katika kumfuata [[Yesu]].
 
'''Kipaimara''' ni ibada ya [[madhehebu]] mbalimbali ya Kikristo inayolenga kumthibitisha mwamini katika kumfuata [[Yesu]].
[[Image:Confirmation VanderWeyden.png|thumb|250px|[[Askofu]] akitoa Kipaimara. Mchoro wa [[Rogier van der Weyden]], ''Sakramenti saba'', karne ya 15.]]
==Katika mpangilio wa sakramenti saba==
Kwa [[Kanisa Katoliki]], [[Waorthodoksi]] na wengineo Kipaimara ni [[sakramenti]] ya pili katika safari ya kuingizwa katika Ukristo ambayo inaanza kwa [[Ubatizo]] na kukamilishwa na [[Ekaristi]].
 
Kwa kawaida sakramenti hizo tatu zilikuwa zikitolewa pamoja, lakini baadaye [[Kanisa la Magharibi]] lilizidi kuzitenganisha, hasa kwa lengo la kumuachia [[askofu]] tu adhimisho la kipaimara.
Kwa [[Kanisa Katoliki]], [[Waorthodoksi]] na wengineo ni [[sakramenti]] ya pili katika safari ya kuingizwa katika Ukristo ambayo inaanza kwa [[Ubatizo]] na kukamilishwa na [[Ekaristi]].
 
[[Image:Confirmation VanderWeyden.png|thumb|250px|[[Askofu]] akitoa Kipaimara. Mchoro wa [[Rogier van der Weyden]], ''Sakramenti saba'', karne ya 15.]]
Kwa kawaida sakramenti hizo tatu zilikuwa zikitolewa pamoja, lakini baadaye Kanisa la Magharibi lilizidi kuzitenganisha, hasa kwa lengo la kumuachia [[askofu]] adhimisho la kipaimara.
 
==Ishara==
Kwa kuwa hii ni hasa sakramenti ya Roho Mtakatifu, ishara yake ni tendo la kuwekea mkono kichwani (Kwa Wakatoliki na Waorthodoksi ni lazima pia kupaka paji la uso kwa mafuta (ya kunukia yanayoitwa "[[krisma]]") paji la uso pamoja na kutamka maneno yanayoweka wazi kwamba ndiye anayetolewa kama mhuri na paji.
 
==Katika [[Biblia]]==
Katika [[Agano Jipya]], Mdo 8:14-17 na 19:1-7 ni ushahidi wa Mitume kuwawekea mikono watu waliobatizwa ili wampokee Roho Mtakatifu.
 
Madondoo mengine yanazungumziayanayozungumzia mpako na mafuta kuhusiana na ubatizoUbatizo ni 2Kor 1:21 na 1Yoh 2:20,27.
 
[[Category:Ukristo]]
[[Category:Liturujia]]
[[Category:Sakramenti]]