Cordell Hull : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
dNo edit summary
dNo edit summary
Mstari 3:
'''Cordell Hull''' ([[2 Oktoba]], [[1871]] – [[23 Julai]], [[1955]]) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya [[Marekani]]. Kuanzia 1933 hadi 1944 alikuwa [[Waziri wa Mambo ya Nje]]. Mwaka wa [[1945]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] kwa Amani''' kwa ajili ya kazi yake ya kuanzisha [[Umoja wa Mataifa]].
 
[[Category:Wanasiasa|H]]
[[Category:Tuzo ya Nobel ya Amani|H]]
 
{{mbegu}}