Shilingi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Shilingi''' ni [[pesa]] inayotumika kwa malipo halali katika nchi za [[Tanzania]], [[Kenya]], [[Uganda]], na maenomaeneo ya mipaka ya [[nchi za Maziwa Makuu]], [[Zambia]], [[Malawi]], na [[Msumbiji]].
 
==Historia ya Shilingi==
Mstari 7:
Uingereza ilitoa "East African Shilling" kuanzia 1921 kama pesa ya pamoja kwa ajili ya koloni zake za Kenya, Uganda na Tanganyika. Zanzibar ilijiunga na shilingi hii mwaka 1935 ilipoacha rupia zake. Baada ya uhuru nchi hizi zilivunja umoja huu zikaanzisha pesa zao za pekee. Zote zinaitwa shilingi lakini thamani ilianza kuwa tofauti haraka.
 
Kuna majadiliano ya kurudisha shiligishilingi ya pamoja kwa nchi za Afrika ya Mashariki.
 
{{mbegu}}