Mkoa wa Manyara : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: sv:Manyara (region)
No edit summary
Mstari 6:
==Wakazi==
Jumla ya wakazi mkoani ilikuwa 1,040,461.[http://www.tanzania.go.tz/census/census/manyara.htm Sensa ya 2002]
Idadi imepatika katika wilaya zifuatazo (idadi ya wakazi katika mabano): [[Babati]] (303,013), [[Hanang]] (205,133), [[Mbulu]] (237,882), [[Simanjiro]] (141,676) na [[Kiteto]] (152,757)
 
Wenyeji wa mkoa huu ni pamoja na Wairaq, Wamasai, Wambulu na Wabarbaiq wakijihusisha na shughuli za kilimo na ufugaji kama njia ya kuingiza kipato chao cha kila siku.