Vita ya miaka 100 : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: simple:Hundred Years' War |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Hundred years war.gif|right|thumb|300px|Ramani inaonyesha maeneo ya vita]]
'''Vita ya miaka 100''' ilikuwa kipindi cha mapigano kati ya [[Ufaransa]] na [[Uingereza]] kilichodumu miaka 116 kuanzia mwaka [[1337]] hadi [[1453]].
Vita ilianza kwa sababu mfalme [[Charles IV wa Ufaransa]] aliaga dunia [[1328]] bila ya kumwacha mrithi, na mfalme [[Edward III wa Uingereza]] aliamini kwamba yeye mwenyewe ana haki ya kurithi cheo hiki kwa kuwa mama yake alitoka katika nasaba ya kifalme ya Kifaransa.
Wafaransa wangi walikataa na hii ilikuwa sababu ya vita.▼
Mwishowe Waingereza walipaswa kujiondoa katika Ufaransa mzima, hata katika maeneo makubwa waliyowahi kuyatawala chini ya mamlaka ya jina tu ya mfalme wa Ufaransa.
== Viungo vya Nje ==
|