Wanzilishaji wa akaunti, Warasimu, Watumiaji waliothibitishwa, Interface administrators, IP block exemptions, Wakabidhi
49,121
edits
d (roboti Nyongeza: da:Bukoba) |
No edit summary |
||
'''Bukoba''' ni mji nchini [[Tanzania]] ambao ni makao makuu ya [[Mkoa wa Kagera]]. Eneo la mji ni wilaya ya Bukoba mjini. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 81,221 [http://www.tanzania.go.tz/census/districts/bukobaurban.htm].
Bukoba iko kando la [[Ziwa Viktoria Nyanza]] upande wa magharibi. Mji ulianzishwa kuanzia 1890 wakati Wajerumani waliteua sehemu hii kwa boma la jeshi lao la kikoloni na kuifanya makao makuu ya mkoa.
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{tanzania-geo-stub}}
{{Kata za Wilaya ya Bukoba Mjini}}
[[Category:Mkoa wa Kagera|B]]
[[Category:Wilaya za Mkoa wa Kagera|B]]
[[Category:Miji ya Tanzania]]
[[da:Bukoba]]
|