Kisiju : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''
Eneo la mji mwenyewe lina takriban [[hektari]] 8. Ni bandari kubwa kati ya [[Dar es Salaam]] na [[Kilwa]]. Biashara yote kutoka na kwenda visiwa vya Kwale na Koma inapita bandari yake pamoja na sehemu za bidhaa zinezopelekwa [[Mafia]]. Kuna huduma ya mabasi kwenda Dar es Salaam.
Eneo la Kisiju pamoja na visiwa limekaliwa tangu zamani sana. Wataalamu wa akiolojia waligundua mabaki ya makazi ya kibinadamu tangu karne ya 1 [[BK]]
<ref>[http://cohesion.rice.edu/CentersAndInst/SAFA/emplibrary/43_ch09.pdf Archaeological Work at Kisiju,Tanzania, 1994 - taarifa ya F. Chami and E. T. Kessy]</ref>
▲Kisiju iko kwenye pwani la [[Bahari Hindi]] na kisiwa cha [[Kwale (Kisiju)|Kwale]] inahesabiwa ndani ya eneo lake.
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{tanzania-geo-stub}}
|