Mwanzo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 27:
|-
|style="font-size: 1.0em;" bgcolor="#F7F5D3" |
<h3 style="font-size:150%"><em style="color:orange;font-style:normal">•</em>'''Makala maalum:''' <br><center>'''[[
[[
'''Sanamu ya Uhuru''' ([[Kiing.]]:'''Statue of Liberty''') ni sanamu kubwa inayosimama katika [[bandari]] ya [[jiji]] la [[New York]]. Ilifika [[Marekani]] mwaka 1885 kutoka Ulaya kama zawadi ya watu wa [[Ufaransa]] kwa watu wa Marekani ikasimamishwa na kuzimikwa rasmi 1886..
Sanamu lina kimo cha mita 46.5 na pamoja na msingi wake linafikia mita 93. Inasimama kwenye kisiwa kidogo kilichopo mdomoni mwa bandari.
Imetengenezwa kwa kutumia mabati ya [[shaba]] yanayolala juu ya kiunzi cha [[feleji]] ndani yake. Kwa jumla uzito wake ni tani 225. Rangi imekuwa kibichi kwa sababu shaba imeoksidishwa kwa nje.
*[[Mwaka mpya|Soma zaidi kuhusu '''Mwaka mpya'''...]]▼
Umbo la sanamu ni mwanamke anayeshika tochi juu ya kichwa chake. Mwanamke ni ishara ya uhuru na mchongaji alitaka kuweka kumbukumbu ya kufutwa kwa utumwa katika Marekani mwaka 1861. Umbo linaiga mifano ya sanaa ya [[Ugiriki ya Kale]] na [[Roma ya Kale]]; mungu wa Kigiriki Helios alionyeshwa kwa mavazi yaleyale na pia na taji kama sanamu ya uhuru; kwa Helios ncha za taji zilikuwa ishara ya mishale ya jua; kwenye sanamu ya uhuru mishale saba inadokeza kwa bahari saba na mabara saba na ujumbe wa uhuru kwa wote.
<h3 style="font-size:100%"><em style="color:orange;font-style:normal">•</em>'''Ujenzi'''</h3>
|