Amri Kumi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
mpangilio mpya
Mstari 8:
Maneno yanayojulikana kama “Amri Kumi” yanapatikana katika vitabu vya Biblia Kutoka na Kumbukumbu la Torati.
{| class="wikitable"
|+ The Ten Commandments
!'''Kitabu cha Kutoka 20:2–17'''
!'''Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 5:6–21'''
Line 17 ⟶ 16:
7. Usilitaje bure jina la BWANA hatamhesabiwa kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.<br /><br />
8. Ikumbuke siku ya sabato uitakase. 9. Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; 10. lakini siku ya saba ni sabato ya BWANA, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya mlango yako. 11. Maana kwa siku sita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo akastarehe siku ya saba; kwa hiyo BWANA akaibarikia siku ya sabato akaitakasa.<br /><br /><br /><br /><br /><br />
12. Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako.<br /><br /><br />
13. Usiue.<br />
14. Usizini.<br />
Line 38 ⟶ 37:
18. Wala usizini. <br />
19. Wala usiibe. <br />
20. Wala usimshuhudie jirani yako uongo. <br />
21. Wala usimtamani mke wa jirani yako; wala usiitamani nyumba ya jirani yako, wala shamba lake, wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala kitu cho chote alicho nacho jirani yako.
|}
Line 50 ⟶ 49:
<center>
{| class="wikitable"
|+ ''Mpangilio wa Amri Kumi katika dini/madhehebu mablimbalimbalimbali''
! align="left" | Amri
! width="80" | Wayahudi