Kasoko : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: nds:Krater |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Ondoa: cs, lb, nl, sk, uk, uz; cosmetic changes |
||
Mstari 7:
* [[Kasoko ya volkeno]]: shimo ambako [[lava]] inatoka nje
Kasoko kubwa zaidi duniani zilisababishwa na meteoridi zilizogonga dunia yetu. Kasoko kubwa iliyojulikana hadi 2006 ilikuwa kasoko ya [[Vredefort]] nchini ([[Afrika Kusini]]) yenye umbo la yai ya urefu wa 320 km na upana wa 180 km.
Mwaka 2006 wataalamu waligundua kasoko kubwa zaidi yenye kipenyo cha 500 km huko [[Antarktika]] katika picha zilizopigwa angani. Iko chini ya barafu ya Antarktika katika eneo la Wilkes Land inatajwa kwa kifupi cha WLIC (kiing.: Wilkes Land impact crater). Kasoko ya WLIC inaaminiwa imesababishwa na [[kimondo]] chenye kipenyo cha takriban 5 km.
Mstari 19:
{{maana}}
[[
[[bg:Кратер]]
[[ca:Cràter]]
[[da:Krater]]
[[de:Krater]]
Line 39 ⟶ 38:
[[ko:구덩이]]
[[la:Crater]]
[[nds:Krater]]
[[pl:Krater]]
[[ru:Кратер]]
[[simple:Crater (disambiguation)]]
[[sv:Krater]]
[[tr:Krater]]
|