141
edits
d (robot Adding: cs:Zambezi) |
|||
}}
Zambezi ni kati ya [[mito mirefu ya Afrika]] ikiwa na nafasi ya nne baada ya [[Nile]], [[Kongo (mto)|Kongo]] na [[Niger (mto)|Niger]]. Ni mto mrefu wa Afrika wa kuingia [[Bahari Hindi]]. Beseni yake ina
Kwenye mwendo wa Zambezi pana maporomoko kadhaa hasa maporomoko ya [[Victoria Falls]]. Mengine ni maporomoko ya [[Chavuma]] mpakani wa Zambia na Angola halafu [[Ngonye Falls]] karibu na [[Sioma]], Zambia ya magharibi.
Zambezi ina madaraja matano pekee kati ya chanzo na mdomo mahali pafuatapo: [[Chinyingi]], [[Katima Mulilo]],
Zambezi ni chanzo cha umeme kwa ajili ya sehemu kubwa ya Afrika ya Kusini. Umeme unatengenezwa kwa nishati ya maji huko lambo la Kariba (Zambia) na lambo la [[Cabora-Bassa]] (Msumbiji).
|
edits