Akiolojia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: eml:Archeologî |
No edit summary |
||
Mstari 10:
Hivyo arkiolojia huongeza ujuzi wetu kwa kufunua ushahidi wa nyakati za kale; wakati uleule kazi ya arkiolojia inahatarisha ushahidi huo kwa sababu kazi yake huondoa hifadhi ya udongo. Katika karne za kwanza za arkiolojia mabaki mengi ya tamaduni za kale yameharibika kutokana na kufunuliwa kwao. Kuepukana na tatizo hilo ni jukumu muhimu ya arkiolojia ya kisasa.
==Data na Info. theory==
==Viungo==
|