Lugha za Kibantu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
rm credits |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Lugha za Afrika ramani.PNG|right|350px|thumb|Ramani hii inaonyesha enezi la '''lugha za Kibantu''' (rangi ya machungwa) kulingana na lugha nyingine za Niger-Congo (rangi ya manjano).]]
'''Lugha za Kibantu''' ni kundi la lugha ambalo ni tawi la [[lugha za Niger-Congo]].
'''Lugha za Kibantu''' ni kundi la lugha ambalo liko tawi moja la [[lugha za Niger-Congo]]. Lugha za Kibantu huzungumzwa katika nchi za [[Kamerun]], [[Nigeria]], [[Gabon]], [[Guinea ya Ikweta]], [[Kongo]] zote mbili, [[Rwanda]], [[Burundi]], [[Uganda]], [[Kenya]], [[Tanzania]], [[Angola]], [[Zambia]], [[Malawi]], [[Msumbiji]], [[Zimbabwe]], [[Namibia]], [[Botswana]], na [[Afrika ya Kusini]]. Enezi hilo linaonyesha kwamba kundi la lugha za Kibantu ni kubwa kabisa barani mwa [[Afrika]], na idadi ya wasemaji Wabantu ni takriban milioni 310.▼
▲
Neno la '''Bantu''', maana yake ni ''watu'' katika lugha nyingi za Kibantu. Shina lake ni ''-ntu'', na [[kiambishi awali]] cha ''ba-'' kinaonyesha [[uwingi]]. Kwa sababu hiyo, mtaalamu [[Wilhelm Heinrich Immanuel Bleek]] (aliyeishi 1827 hadi 1875) alitumia neno la '''Bantu''' kwa kurejea kundi la lugha hizo. Bleek alilinganisha [[sarufi]] za lugha mbalimbali za Kibantu, na baadaye [[Carl Meinhof]] alimfuata katika utafiti huo.▼
Enezi hilo linaonyesha kwamba kundi la lugha za Kibantu ni kubwa kabisa barani [[Afrika]], na idadi ya wanaozitumia ni takriban milioni 310.
▲Neno
Kuna mamia ya lugha za Kibantu; wataalamu wengine wanahesabu 300, wengine wanahesabu 600. Mtaalamu [[Malcolm Guthrie]] aliziainisha kulingana na maeneo ya kijiografia. Kila eneo limepata herufi yake—A, B, C, D, E, F, G, H, K, L, M, N, P, R na S—na ndani ya kila eneo kuna tarakimu tena. Pia, Guthrie alichunguza [[lugha ya nasaba]] ambayo ni chanzo cha lugha zote za Kibantu.
==Tabia za Kibantu na historia ya lugha==
Lugha za Kibantu zina tabia mbalimbali za pamoja. Kati ya tabia
Kutokana na sifa
Kati ya lugha za Kibantu zinazotumika zaidi
==Lugha za Kibantu zenye wasemaji wengi==
''(Idadi ya wasemaji ni makadirio tu; bado
*[[Kiswahili]] na lahaja zake (wasemaji milioni 75) : [[Tanzania]], [[Kenya]], [[Uganda]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]], [[Rwanda]], [[Burundi]], [[Komori]], [[Mayotte]], [[Msumbiji]], [[Somalia]].
*[[Kinyarwanda-Kirundi]] : (wasemaji milioni 15): Rwanda, Burundi
Line 22 ⟶ 26:
*[[Zulu]] (wasemaji milioni 9) : [[Afrika Kusini]]
*[[Shona]] (wasemaji milioni 7) : Msumbiji, [[Zambia]], [[Zimbabwe]]
*[[Gikuyu]] (wasemaji milioni 7) : Kenya▼
*[[Kikongo]] (wasemaji milioni 6) : Angola, Jamhuri ya Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
*[[Chiluba]] (wasemaji milioni 6) : Jamhuri ya Kidemocrasia ya Kongo, [[Angola]]
▲*[[Gikuyu]] (wasemaji milioni 7) : Kenya
|