Daudi (Biblia) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Image:David and Goliath by Caravaggio.jpg|thumb|Daudi akimmaliza Goliathi katika mchoro wa [[Caravaggio]]]]
'''Daudi''' alikuwa mfalme wa pili wa [[Israeli ya Kale]] mnamo mwaka [[1000 KK]]. Alimfuata mfalme [[Sauli]] akafuatwa na [[Suleimani]].
 
Alizaliwa na Yese mjini [[Bethlehemu]].
Alizaliwa kama mtoto wa Yese mjini [[Bethlehemu]]. Kama kijana alipelekwa kwa jumba la mfalme Sauli alipopanda ngazi na kuwa kiongozi wa kijeshi. Kati ya matendo yake yaliyokumbukwa ni ushindi juu ya Mfilisti Goliathi.
 
Alizaliwa kama mtoto wa Yese mjini [[Bethlehemu]]. Kama kijana alipelekwa kwakwenye jumba la mfalme Sauli alipopanda ngazi na kuwa kiongozi wa kijeshi. Kati ya matendo yake yaliyokumbukwa ni ushindi juu ya Mfilisti Goliathi.
Baada ya kifo cha Sauli Daudi akachaguliwa kwanza kama mfalme wa Yuda na baadaye pia wa Israeli. [[Zaburi]] nyingi zinamtaja Daudi kama mwandishi.
 
Kati ya matendo yake yaliyokumbukwa zaidi ni ushindi juu ya Mfilisti [[Goliathi]].
[[Qurani]] inadai ya kwamba Daudi alikuwa mtume wa Allah aliyepewa kitabu cha "zabur".
 
Baada ya kifo cha Sauli Daudi akachaguliwa kwanza kama mfalme wa Yuda na baadaye pia wa Israeli. [[Zaburi]] nyingi zinamtaja Daudi kama mwandishi.
 
[[Zaburi]] nyingi zinamtaja Daudi kama mwandishi au zimeandikwa kwa heshima yake.
 
[[Qurani]] inadai ya kwamba Daudi alikuwa [[mtume]] wa [[Allah]] aliyepewa kitabu cha "zabur".
 
{{mbegu}}
 
[[category:Watu wa Biblia]]