Waraka wa Yuda : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: eo:Epistolo de Judaso |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: ca:Epístola de Judes; cosmetic changes |
||
Mstari 3:
Hiki ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya [[Agano Jipya]] katika [[Biblia ya Kikristo]].
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[Historia ya Wokovu|historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[
== Mwandishi ==
Hatujui vizuri mwandishi ni nani (ingawa anajiita ndugu wa Yakobo), wala aliandika lini (wengi wanakisia miaka ya 80 [[B.K.]]), wala aliwaandikia akina nani (barua ni kwa wote, ingawa baadhi wanahisi walengwa kuwa ni [[Wakristo]] wa [[Kiyahudi]] walio nje ya [[Israeli]]).
== Mada ==
Ujumbe ni kujihadhari na wazushi wanaobunibuni mafundisho mapya badala ya kushika [[imani]] ile iliyofunuliwa mara moja na ikatosha; ujumbe huo ulitolewa kwa kuwatukana na kuwalaani wazushi hao (Yuda 1-4, 17-25).
== Kiungo cha nje ==
* [http://www.intratext.com/IXT/SWA0013/_INDEX.HTM] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili
▲[[Category:Vitabu vya Agano Jipya|Yud]]
[[ar:رسالة يهوذا]]
[[ca:Epístola de Judes]]
[[cs:List Judův]]
[[da:Judasbrevet]]
|