Verner von Heidenstam : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 13:57, 7 Novemba 2006
Verner von Heidenstam (6 Julai, 1859 – 20 Mei, 1940) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Sweden. Hasa aliandika mashairi na riwaya. Mwaka wa 1916 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |