Wikipedia ya Kipoland : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Created page with '{{Infobox Website | jina = 16px|Favicon of Wikipedia Wikipedia ya Kipoland | logo = Logo of the Polish Wikipedia | …' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 11:28, 18 Aprili 2009
Wikipedia ya Kipoland (Kipoland: polska Wikipedia) ni toleo la kamusi elezo ya Wikipedia kwa lugha ya Kipoland. Wikipedia kwa Kipoland, ni toleo la tisa la Wikipedia. Ilianzishwa mnamo tar. 26 Septemba katika mwaka wa 2001. Na kwa mwezi wa Mei 2008, imefikisha makala zaidi ya 500,000, na kuifanya iwe toleo la nne kwa ukubwa baada ya Wikipedia kwa Kiingereza, Kijerumani, na Kifaransa. Hii ni toleo kubwa la Wikipedia katika orodha ya lugha za Kislavoni kwa idadi ya makala.
Logo of the Polish Wikipedia | |
---|---|
Kisara | http://pl.wikipedia.org/ |
Ya kibiashara? | Hapana |
Aina ya tovuti | Mradi wa Kamusi Elezo ya Interneti |
Kujisajiri | Hiari |
Lugha asilia | Kipoland |
Mmiliki | Wikimedia Foundation |
Imeanzishwa na | 26 Septemba 2001 |
Viungo vya Nje
Wikipedia ya Kipoland ni toleo la Wikipedia, kamusi elezo huru
- (Kipoland) Polish Wikipedia
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |