Erie (ziwa) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: cy:Llyn Erie Badiliko: uk:Ері (озеро)
dNo edit summary
Mstari 1:
[[Image:Great Lakes Lake Erie.png|thumb|right|Ziwa Erie (buluu nyeusi) kati ya maziwa makubwa]]
'''Ziwa Erie''' ni moja ya maziwa makubwa ya [[Amerika ya Kaskazini]]. Pamoja na maziwa mengine ya [[Ziwa Superior]], [[Ziwa Huron]] na [[Ziwa Ontario]] liko mpakani kati ya [[Marekani]] na [[Kanada]] na mpaka huu umepita ziwani.
 
Ziwa limepakana na [[Kanada]] (jimbo la [[Ontario]]) upande wa kaskazini halafu na Marekani (majimbo ya [[Ohio]], [[Pennsylvania]], [[New York]] na [[Michigan]]) upande wa kusini na magharibi. Jina limetokana na kabila la Waerie walioishi hapa kabla ya kuingia kwa Wazungu.