Askofu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Akofu Luwum.jpg|thumb|300px|right|Askofu Luwum wa Kanisa la
'''Askofu'''
==Historia ya Cheo==
===Episkopos katika Agano Jipya===
Neno letu "askofu" limetokana na [[Kiarabu]] <big> أسقف </big> "uskufu" ambalo ni umbo la Kiarabu la neno la [[Kigiriki]] επισκοπος "episkopos". Neno
Maandiko ya kwanza ya [[Agano Jipya]] yanayotumia neno hili ni nyaraka za [[
[[1Tim.]] 3,1-7 na [[Tit.]] 1,7 zinataja "episkopos" lakini wengine hudhani ya kwamba nyaraka hizi zimeandikwa baada ya Paulo.
Katika [[Mdo.]] 20,28 wazee au viongozi wa ushirika wa [[Efeso]] waitwa "episkopoi" kwa jumla. Haya yote yanachukuliwa wa wataalamu wengi ya kuwa wakati wa uandishi wa Agano Jipya cheo cha "askofu" hakikuwa bado cheo maalumu. Lakini katika shirika kadhaa alipatikana tayari kiongozi aliyekuwa na cheo cha juu kuliko wazee.
===Episkopos kama cheo===
Neno episkopos linaonekana kama cheo katika maandishi ya mwisho wa [[karne I]] na mwanzo wa [[karne II]] kama vile [[waraka wa kwanza wa Klementi]] ambapo askofu aonekana kuwa kiongozi mkuu wa kanisa
Katika upanuzi wa [[Ukristo]] madaraka ya askofu yalipanuka. Kadiri
Wakati ule ngazi
==Kanisa
[[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] wana
Maaskofu hukutana kwenye [[sinodi]] na kufanya maazimio kuhusu mambo ya kanisa lote
Maaskofu wa nchi au eneo kubwa wako pamoja chini ya usimamizi wa [[Patriarka]] au wa [[Askofu Mkuu]].
Katika mapokeo hayo askofu hutazamiwa kama mwandamizi wa mitume wa Yesu. Katika mafundisho hayo Yesu mwenyewe aliwaweka mitume wake 12 kuwa viongozi wa kanisa lote na kuwapa madaraka. Madaraka hayo yalitolewa na mitume kwa kuwawekea mikono kichwani waandamizi wao waliokuwa hivyo kuwa maaskofu wa kwanza baada yao, nao wakafanya hivyo kwa waandamizi wao. ▼
Katika [[Kanisa Katoliki]] [[askofu wa Roma]] ni mkuu wa Maaskofu wote na wa Kanisa lote duniani akitajwa kwa jina la [[Papa]].
Kwa namna hiyo kuna mlolongo wa kuwekeana mikono na kubariki wanaopokea nafasi ya uaskofu kuanzia mitume na kila kizazi cha maaskofu hadi leo. Hivyo maaskofu ni kiungo kati ya Yesu na waumini wa leo.▼
==
▲Katika [[mapokeo]] hayo askofu
Baadhi ya madhehebu ya Kiprotestanti, hasa ya Kianglikana, yana kiongozi anayeitwa askofu, lakini mamlaka yake ni tofauti na ile ya maaskofu wa Kikatoliki na wa Kiorthodoksi, kutokana na mtazamo tofauti sana kuhusu Kanisa na sakramenti. Kwa kawaida viongozi wa Kiprotestanti hawakuwekewa mikono katika mlolongo wa kimitume.▼
▲Kwa namna hiyo kuna mlolongo wa kuwekeana mikono
==Askofu kati ya Waprotestanti==
▲Baadhi ya [[madhehebu]] ya
[[Category:
[[Category:Ukristo]]
[[Category:Kanisa]]
[[Category:
[[an:Bispe]]
[[ar:أسقف]]
[[arc:ܐܦܝܣܩܘܦܐ]]
[[be:Епіскап]]
[[be-x-old:Біскуп]]
[[bs:Biskup]]
Line 52 ⟶ 57:
[[ca:Bisbe]]
[[cs:Biskup]]
[[cy:Esgob]]
[[da:Biskop]]
[[de:Bischof]]
[[et:Piiskop]]
[[el:Επίσκοπος]]
[[en:Bishop]]▼
[[es:Obispo]]
[[eo:Episkopo]]
Line 73 ⟶ 78:
[[la:Episcopus]]
[[lb:Bëschof]]
[[lt:Vyskupas]]
[[li:Biesjop]]
[[hu:Püspök]]
[[nl:Bisschop]]
[[ja:
[[no:Biskop]]
[[nn:Biskop]]
[[pl:Biskup]]
[[pt:Bispo]]
[[ro:Episcop]]
[[ru:Епископ]]
[[sq:Ipeshkvi]]
[[sk:Biskup]]
[[sl:Škof]]
[[sr:
[[sh:Biskup]]
[[fi:Piispa]]
Line 93 ⟶ 100:
[[tr:Piskopos]]
[[uk:Єпископ]]
[[
[[zh-yue:主教]]
[[bat-smg:Vīskops]]
[[zh:主教]]
|