Bradha : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Image:A Francisan friar.jpg|thumb|right|230px|Bradha [[Wafransisko|Mfransisko]]]]
 
'''Bradha''' au '''bruda''' (yaanini ndugunamna waya kiume)kutaja niwatawa nenowanaume laWakristo mkopowasio linalotumikamakasisi. katikaManeno [[lugha]]haya yayamepokelewa katika [[Kiswahili]] hasa kumaanishakutoka [[mtawaKiingereza]] wa"brother" kiume, wakati yule wa kike anaitwaau [[sistaKijerumani]] "Bruder".
 
Lakini katika mashirika mengi, linatumika hasa kumaanisha mtawa wa kiume asiye [[kasisi]]. Ingawa watawa wengi wa kiume ni [[upadri|mapadri]] pia, si lazima iwe hivyo.
 
Hali ya kuwekwa [[wakfu]] kwa kuahidi utekelezaji wa [[mashauri ya Kiinjili]] ([[useja mtakatifu]], [[ufukara]], [[utiifu]])) inajitosheleza kama ilivyo kwa masista. Kwa kuwa lengo la [[utawa]] si kuongoza [[Kanisa]] kwa mamlaka inayotokana na [[daraja takatifu]] au kutoa huduma za kipadri, bali ni kulenga [[utakatifu]], yaani [[upendo]] kamili.