Bradha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:A Francisan friar.jpg|thumb|right|230px|Bradha [[Wafransisko|Mfransisko]]]]
'''Bradha''' au '''bruda'''
Hali ya kuwekwa [[wakfu]] kwa kuahidi utekelezaji wa [[mashauri ya Kiinjili]] ([[useja mtakatifu]], [[ufukara]], [[utiifu]])) inajitosheleza kama ilivyo kwa masista. Kwa kuwa lengo la [[utawa]] si kuongoza [[Kanisa]] kwa mamlaka inayotokana na [[daraja takatifu]] au kutoa huduma za kipadri, bali ni kulenga [[utakatifu]], yaani [[upendo]] kamili.
|