Kitabu cha Yuditi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: hr:Judita (knjiga)
d roboti Ondoa: nl:Judith; cosmetic changes
Mstari 1:
'''Kitabu cha Yudith''' ni kimojawapo kati ya vitabu vya[[deuterokanoni]] vya [[Biblia ya Kikristo]].
 
Kimo katika [[Septuaginta]] na katika [[Agano la Kale]] la [[Kanisa Katoliki]], la [[Waortodoksi]] wengi na la baadhi ya [[Waprotestanti]], lakini si katika [[Tanakh]] ya [[Uyahudi]] wala katika [[Biblia]] ya Waprotestanti.
 
Hadithi hiyo, iliyoandikwa katika [[karne ya 1 K.K.]] inahusu wakati wa mfalme [[Nebukadreza]], na vita vyake dhidi ya [[Israeli]] ([[karne ya 6 K.K.]]).
Mstari 11:
Wengi wanaona katika Yudith kielelezo cha [[Bikira Maria]] katika mapambano dhidi ya shetani, hasa kutokana na maneno yafuatayo: "Umebarikiwa, binti yangu, usoni pa Mungu Aliye Juu, kuliko wanawake wote duniani. Na ahimidiwe Bwana Mungu, Muumba mbingu na nchi, aliyekuongoza hata ukampiga kichwa mkuu wa adui zetu" (Yudith 13:18).
 
Kama vitabu vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[Historia ya Wokovu|historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[Ufunuo|ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
 
{{DEFAULTSORT:Yuditi}}
[[Category:Vitabu vya Agano la Kale]]
[[Category:Watu wa Biblia]]
 
{{Biblia AK}}
 
[[CategoryJamii:Vitabu vya Agano la Kale]]
[[CategoryJamii:Watu wa Biblia]]
 
[[ca:Llibre de Judit]]
Mstari 38:
[[la:Liber Iudith]]
[[ml:യൂദിത്തിന്റെ പുസ്തകം]]
[[nl:Judith]]
[[nn:Judits bok]]
[[no:Judits bok]]