Waraka kwa Wakolosai : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: arc:ܐܓܪܬܐ ܕܠܘܬ ܩܘܠܣܝܐ; cosmetic changes
Mstari 3:
Barua kwa [[Wakolosai]] ni kati ya vitabu 27 vya [[Agano Jipya]] ambalo pamoja na [[Agano la Kale]] linaunda [[Biblia]] ya [[Wakristo]].
 
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[Historia ya Wokovu|historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[Ufunuo|ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
 
== Muda wa uandishi ==
 
Barua hiyo ni mojawapo kati ya zile za mwishomwisho za [[Mtume Paulo]] na inaonyesha maendeleo ya [[teolojia]] yake, hasa kutokana na muda mrefu wa kutafakari aliojaliwa kifungoni.
 
== Mazingira ==
 
[[Kanisa]] la [[Kolosai]], mji wa biashara karibu na [[Efeso]] lilianzishwa na mwanafunzi wa Paulo, labda [[Epafra]], halafu likaingiwa na mafundisho ya ajabuajabu yaliyochanganya mambo ya [[Kiyahudi]] na ya Kipagani na yaliyozingatia mno ukuu wa [[malaika]] juu ya ulimwengu.
Mstari 19:
Hakuna sababu ya kutafuta kwingine [[hekima]] na maarifa, wala ya kujiwekea masharti ya kibinadamu yasiyosaidia kuokoka (Kol 1:13-29; 2:6-3:4; 3:5-17).
 
== Mpangilio ==
 
Mpangilio wa barua ni kama kawaida ya barua za Paulo: utangulizi, mafundisho ya imani, maonyo kuhusu uzushi, mawaidha na hatima.
 
 
== Kiungo cha nje ==
* [http://www.intratext.com/IXT/SWA0013/_INDEX.HTM] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili
 
[[CategoryJamii: Vitabu vya Agano Jipya|Kol]]
 
[[Category: Vitabu vya Agano Jipya|Kol]]
 
[[ar:رسالة بولس الرسول إلى أهل كولوسي]]
[[arc:ܐܓܪܬܐ ܕܠܘܬ ܩܘܠܣܝܐ]]
[[ca:Epístola als Colossencs]]
[[cs:List Koloským]]